Similar Songs
Lyrics
Roho wako mwenyezi
Amenifanya jinsi nilivyo
Pumzi yako, uhai wangu
Umefufua mifupa mikavu
Uhai umenipa baba yangu
Umetuliza dhoruba
Wakati wa mawimbi
Moyo wangu na, ukuiniue wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa, moyo wangu
Moyo wangu na, ukuiniue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu na, ukuiniue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Egemeo Baba yangu umbali huu
Ninashukuru, Mwamba, ah-ah-ah
Dunia mbingu, ni mwashahidi umbali huu
Ni dahiri ni wewe, bwana wa mabwana
Kwa makubwa, madogo, umbali huu
Ni wewe bwana wa mabwana
Na mengi, machache, umbali huu
Ni wewe bwana wa mabwana
Moyo wangu
Moyo wangu na, ukuiniue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu na, ukuiniue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu
Moyo wangu na, ukuiniue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu na, ukuiniue wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Ni na kuinua, inua haa
Umetenda mema, mema, bwana oooh
Ni na kuinua, inua haa
Umetenda mema, mema, bwana
Ni wewe (wewe) Shamma wewe ni Jehovah Shamma
Ni wewe (wewe) Jireh wewe ni Jéhovah Jireh
Ni wewe (wewe) Shamma wewe ni Jéhovah Shamma
Na bado wazidi kuwa yulé Mungu umekuwa
Na bado wazidi kuwa yulé Mungu umekuwa
Shammah we, ni jéhovah jireh
Lyrics powered by www.musixmatch.com