Credits
COMPOSITION & LYRICS
Daktari Iselweri
Songwriter
Lyrics
Ni munyama hatari
Kuliko mamba wa bahari
Anaye jifanya rafiki
Akiwa ni munafiki
Ana ckeka usoni
Akiwa na hasira moyini
Ana jifanya kondoo
Akumbe yeye ni simba
Oh binadamu
Hawana shukurani
Ndio maana siwa amini
Binadamu wabaya
Oh binadamu
Hawana shukurani
Ndio maana siwa amini
Binadamu wabaya
Mazuri tuna tenda
Hakuna shukurani
Binadamu hawana wema
Hawana shukurani
Hata utende mazuri
Wata kusema vibaya
Sasa ukifanikiwa
kwao hawana raha
Hata utende mazuri
Wata kusema vibaya
Sasa ukifanikiwa
kwao hawana raha
Oh binadamu
Hawana shukurani
Ndio maana siwa amini
Binadamu wabaya
Oh binadamu
Hawana shukurani
Ndio maana siwa amini
Binadamu wabaya
Oh binadamu
Hawana shukurani
Writer(s): Daktari Iselweri
Lyrics powered by www.musixmatch.com