Credits
PERFORMING ARTISTS
Reuben Kigame
Performer
Sifa Voices
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Reuben Kigame
Composer
Lyrics
(Ewe Mungu wa majeshi) ewe Mungu wa majeshi
(Napenda kukaa nawé) ni napenda kukaa nawé
Maskani ('skani) zako zapendeza
(Na zi kondea) na zi kondea kwa shauku kubwa
(Heri) heri siku moja
(Mbélé zako) mbélé zako
(Kuliko) kuliko siku elfu mbali na wéwé
Ee Bwana, nguvu na m'saada wangu; n'takupenda daima
Moyo na mwili wangu (moyo na mwili wangu Bwana)
(Viakulilia) viakulilia Mungu wangu
Heri (heri) nikose vioté Baba
Lakini nikupate wéwé (nipate wéwé)
Heri siku moja (siku moja)
Mbélé zako (kuliko)
Kuliko siku elfu mbali na wéwé (ewe Bwana)
Ee Bwana, nguvu na m'saada wangu, n'takupenda daima
M'chezeye Bwana, Team
Alléluia
Asante Bwana
Heri siku moja (siku moja)
Mbélé zako (Bwana mangu)
Kuliko siku elfu (siku elfue yingine) mbali na wéwé
Ee Bwana, nguvu na m'saada wangu, n'takupenda daima
Writer(s): Reuben Kigame
Lyrics powered by www.musixmatch.com