Top Songs By Moji Shortbabaa
Credits
COMPOSITION & LYRICS
James Muhia Mukige
Songwriter
Lyrics
Ye hukua close than a bro
That's my savior
Ananipenda i know
that's my savior
Ata warushe bombo ako nami kwa storm
That's my savior
Since i was born amenitolea form
That's my savior
Nimeona akicome through
Time and time again
Nimeona ye ni mtrue
Time and time again
Nimeona mazuri akido do
Time and time again
Nimeona akiniweka juu juu
Time and time again
God is for me yeh he's for me
Yote nitaweza
He's for me yes he's for me
Nani ataniweza
Kona kona
Niko na yesu kwa kona yangu
Kona kona
Niko na yesu kwa kona yangu
Me i know me i know
Niko na yesu kwa kona yangu
Me i know me i know
Niko na yesu kwa kona yangu
Nikimuita anajibu
Yeah yeah anajibu
Nikiugua ananitibu
Yeah yeah ananitibu
Mimi ni mitawi ye mzabibu
Yeah yeah mzabibu
Nikiwa naye kila kitu
Yeyee ni kila kitu
Oh yeah
Furaha iliyoje kujua mokozi yuko pande yangu
Furaha iliyoje kujua mokozi ndio ngao yangu
Sasa nimejawa na furaha kweli
furaha furaha furaha
Nasema kwa yesu ni raha kweli
ni raha ni raha ni raha
God is for me yeh he's for me
Yote nitaweza
He's for me yes he's for me
Nani ataniweza
Kona kona
Niko na yesu kwa kona yangu
Kona kona
Niko na yesu kwa kona yangu
Me i know me i know
Niko na yesu kwa kona yangu
Me i know me i know
Niko na yesu kwa kona yangu
Kona kona
Niko na yesu kwa kona yangu
Kona kona
Niko na yesu kwa kona yangu
Me i know me i know
Niko na yesu kwa kona yangu
Me i know me i know
Niko na yesu kwa kona yangu
God is for me yeh he's for me
Yote nitaweza
He's for me yes he's for me
Nani ataniweza
Writer(s): James Mukige
Lyrics powered by www.musixmatch.com