Lyrics

Tina Tine eh-eh Tina Tine eh-eh Tina Tine eh-eh Una mubeba mutoto una mupa na sura yengine Tina Tine eh-eh Tina Tine eh-eh Tina Tine eh-eh Una mubeba mutoto una mupa na sura yengine Shiweye urisemaka Auta ni achaka Nikufa na kuzikana Niri fanya nini oh-oh-oh Minakuwa wa sasa, wa sasa Téléphone niki ita unauliza kama mi ni nani Takufata mombasa, mombasa Nadjuwa kwenu aba nipendi dju mi niko masikini Na vile mi nakupendaka Sa usha kuni lokaka Kichwa kina umaka Niki kuwaza maman Manguo ulikuwa napendaka Ndjo mi navalaka Ni kisha kui vala mina lia sana Ba djirani bana niuliza Ni wapi kule u naenda Nasema una enda Kwa maman yako muloko Kwa maman yako muloko leo Kwa shangazi yako kesho Kwa muyomba yako kesho kule Kumbe tulisha achana Minakuwa wa sasa, wa sasa Téléphone niki ita unauliza kama mi ni nani Takufata mombasa, mombasa Nadjuwa kwenu aba nipendi dju mi niko masikini Minakuwa wa sasa, wa sasa Téléphone niki ita unauliza kama mi ni nani Takufata mombasa, mombasa Nadjuwa kwenu aba nipendi dju mi niko masikini Kesho tapanda mashua Nakuya mombasa Umu tayarishe mutoto wangu avale kandju ya mauwa Kesho tapanda mashua Nakuya mombasa Umu tayarishe mutoto wangu avale kandju ya mauwa Kesho tapanda mashua Nakuya mombasa Umu tayarishe mutoto wangu avale kandju ya mauwa
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out