Top Songs By Moni Centrozone
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Moni Centrozone
Performer
Marioo
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Moni Centrozone
Songwriter
Marioo
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Kapipo Beats
Producer
Lyrics
Yeeh yeeh yeeh
Kapipo(shiiih)
Pruuh mpaka makka nimefika aah
Yanchaka chaka tika tika aah
Aiih yan moshi pwika pwika
Hujaniita naitika
Napenda unavyokatika
Ukishika namwagikwa(bomboclat)
Kwenye sita kwa sita
Spika inavyokita naridhika(bomboclat)
Baby mwenzako moyo wangu wa kike
Napenda nang'angania
Yani mwenzako
I like the way unavyonipatia
Napenda unavyokatika
Ukishika namwagikwa(bomboclat)
Kwenye sita kwa sita
Spika inavyokita naridhika(bomboclat)
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Malume na centrozone east zuu
Naskia unataka mpini wa mtoto wa mtaani(onanaaah)
Zidisha kidogo nikuweke ndani(onanaaah)
Si unanipa siti ya nyuma kwa usukani(onanaaah)
Napigilia nyavu naweka bampani(onanaaah)
Mwambie haramu haizaliwi kwenye kitanda(si ndio)
Huna msambwanda ila unachanda(si ndio)
Mimi navyopiga deki wewe unailamba(si ndio)
Sasa nionyeshe ujuzi wako wa kuucheza mnanda
Jifanye mtoto wa mjini wakuone toy
Si hatufosi wenzako wanataka kuchill na big boy
Vitu moto moto kwenye foil
Jua la utosi bila maelekezo baby hauopoi
Ndo maana sijitusu kukuposti
Kwa maana najua ukishaenda mjini itanicost
Kuna wanangu mafisi
Halafu kuna wanangu maboss
Wanangu wakuslide wanapenda andaliwa msosi
Napenda unavyokatika
Ukishika namwagikwa(bomboclat)
Kwenye sita kwa sita
Spika inavyokita naridhika(bomboclat)
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Yeah yeyeeh yeyeeh yeyeh yeyeeh
Boom
And the good work has been done by Kapipo
Lyrics powered by www.musixmatch.com