Lyrics
Yesu kwako ninalia
nitakufa ukiona
wako nisogeze eeeh
hivi hivi nitwae ×3
wokovu nisogeze eeya
hivi hivi nitwae
nina dhambi na sifai
damu yako natumai
naja hivi hukatai
hivi hivi nitwae×3
wokovu nisogeze eeya
hivi hivi nitwae
kijito cha utakaso
ni damu ya Yesu
Bwana anao uweza
kunipa wokovu
kijito cha utakaso
nizame kuoshwa humo
namsifu Bwana kwa hiyo
nimepata utakaso×2
Ni neema ya ajabu
kumpa mwanadamu
kabla Yesu kumjuaa
Yesu kuwa msalabani
Lyrics powered by www.musixmatch.com