Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Amini
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Amini
Songwriter
Lyrics
(C9 and one)
Story yangu nilishakwambia, nilishawahi kuumizwa, ah!
Nikayumba na dunia, kwa penzi la dhuluma, ah!
Nashukuru wanipenda sana, karibu kwenye yangu dunia (yule)
Aliniacha kwenye jangwa (yule), sina hata maji (yule)
Nikajiita mkosaji (yule)
Si mara ya kwanza hii
Penzi letu lilipea imebaki story
Kila neno nililomwambia alikubaki kichwani, sasa
Ni wewe ul'onifanya naimba
Ni wewe sijakosea kupenda
Ni wewe unaenifanya nahema, aah
Ni wewe ul'onifanya naimba
Ni wewe sijakosea kupenda
Ni wewe unaenifanya nahema, aah
Nilipokufata nilikwambia
Hata mateso hutoyasikia
Bila kuwaza ukanipokea (uh, uh, uh, uh)
Si mpofu kupapasa baya na jema wavijua
Pasipo na njia uonyesha nia
Kwa maneno yoyo
Una malengo na mipango na viapo ndivyo
Nafurahi rohoni (lelo)
Sikumbuki zamani (lelo)
Umeibeba ramani (lelo)
Ya mapenzi duniani
Si mpofu kupapasa baya na jema wavijua
Ni wewe ul'onifanya naimba
Ni wewe sijakosea kupenda
Ni wewe unaenifanya nahema, aah
Ni wewe ul'onifanya naimba
Ni wewe sijakosea kupenda
Ni wewe unaenifanya nahema, aah
Ulinikuta kwenye jangwa, ukanipa maji
Mahututi sio wa kupumua, ukanipa uhai (aah)
Nikapata nguvu mpya, nikapooza makali (aah)
Maumivu uliyoyakuta yamekua asali
Aya ya-ya-ya, nafurahi rohoni (lelo)
Sikumbuki zamani (lelo)
Umeibeba ramani (lelo)
Ya mapenzi duniani
Si mpofu kupapasa baya na jema wavijua...
Ni wewe ul'onifanya naimba
Ni wewe sijakosea kupenda
Ni wewe unaenifanya nahema, aah
Ni wewe ul'onifanya naimba
Ni wewe sijakosea kupenda
Ni wewe unaenifanya nahema, aah
Ni wewe
Ni wewe
Ni wewe
Lyrics powered by www.musixmatch.com