Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Golden Tz
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Golden Tz
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Ringtone
Producer
Mai Tempo Studios
Mixing Engineer
Lyrics
Uwoga wangu wa kukukosa ndo unaniumiza akili.
Mi nakesha kutafuta ili nitoe mahari,
Mama wasije kupotosha Pesa ilivyo asali.
Wakatuma Vocha vocha Wakajifanya Hodari
Unga unga mwana mi inanicost
Nataka pika mboga sina carroti
Sina smart phone nataka kupost
Mi kimbilikimo wenzangu ngongoti.
Kama ahadi nishakupa nyingi
Tena maradufu
Iyo pete ka jiwe la msingi
Ishaota kutu
Nivumilie najua unataka matarumbeta
Na usilie hata tukifunga ya mkeka
Kaza kaza roho
Nadunduliza kidogo nitapata mama
Kaza kaza roho,
Robo kilo nusu tutakusanya
Kaza kaza roho
Ugali finyu kichele dona la ngama
Kaza kaza roho
Kaza roho kaza
Mmmmh
Aaahaah Uuuhm
Wanasema unanizeesha
Eti ukipata utasepa
Ila acha nikwambie we ndo kichwa
Najua ukipata nitadeka
Na kibanda chetu utaezekaa
Maana juzi mvua ilitutisha
Sidati na mawigi mwenzako
Napenda za kuchana
We umenikidhi
Busu lako ka kilo ya nyama
Bila sweta nabarizi
Joto lako lanipa salama
Yanini ulalamishi
Riziki anatoa rabana
Najua vizuri unaviona we viache tu vipite
Mwenzio mi nasaka dona
Jioni tusimeze matee
Najua unapenda nyama choma
Ila leo mi nina mkatee
Tumbo piga danadana
Ilhali kesho kukuche
Kama ahadi nishakupa nyingi
Tena maradufu
Iyo pete ka jiwe la msingi
Ishaota kutu
Nivumilie najua unataka matarumbeta
Nataka baba
Na usilie hata tukifunga ya mkeka
Kaza kaza roho
Kaza roho ohooo hooo
Kaza kaza roho
Iyee iyeeee e
Kaza kaza roho,
Nadunduliza kidogo
Nitapata mama
Kaza kaza roho
Kaza roho kaza
Iyee ie iee ie
Kaza roho kaza
Writer(s): Salum Nyangumwe
Lyrics powered by www.musixmatch.com