Top Songs By Diamond Platnumz
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Diamond Platnumz
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Tudd Thomas
Producer
Lyrics
Hello! Napo vipi sijui unanisikia?
Hello! Nnamaneno natamani kukwambia
Hello! Tafadhali usije nikatia
Hello! Ona mpaka nasahau kusalimia
Habari gani leo nmekumbuka sana
Na mama yani twakuwazagaa
Vipi nyumbani hali ya mumeo na wana
Na aunty Shani wa chimwagaa ah ah
Kile kidonda changu cha roho bado kinatia tabu
Nnajitaidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
Tena silali oh nasubiri maajabu
Maumivu yangu ayajapata dawa...
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh...
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
Na roho yangu mama (bingili bingili)
Ah nikikuwaza (bingili bingili)
Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
Oh nikilala (bingili bingili)
Inama inuka uwoh (bingili bingili)
Yani sina raha (bingili bingili bayoyo)
Ah iyeeeh ah iyeeeh
Tatizo kwetu sijui nini kosa langu
Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
Nawaza ila siambui ama shida zangu
Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
Ndio maana haukutaka kusubiria
Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana usiku dona kurumaghia
Nilitamani sana ila nguvu yangu palinishia
Ningalikua na uwezo ningekutimizia
Mingali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh
Nakumkumbuka iyeeh iyeh nakumkumbuka sana
Ooh... I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
I miss you nakukumbuka iye iyeh
Na roho yangu mama (bingili bingili)
Ah nikikuwaza (bingili bingili)
Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
Oh nikilala (bingili bingili)
Inama inuka uwoh (bingili bingili)
Yani sina raha (bingili bingili bayoyo)
Ata nikila (bingili bingili)
Nikikuwaza (bingili bingili)
Nikilala heeh (bingili bingili bayoyo)
Ona roho mama (bingili bingili)
Ah nikikuwaza (bingili bingili)
Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
Heeeh! Roho yangu mama (bingili bingili)
Heh heh heeh! (Bingili bingili)
Heh heh heeh! (Bingili bingili bayoyo)
Oooh roho yangu mama (bingili bingili)
Inama inuka uwoh (bingili bingili)
Chibu sina raha (bingili bingili bayoyo)
Ah ata nikila!
Writer(s): Eliot John Kennedy, Georgie Jane Dennis, Peter Armstrong Lincoln
Lyrics powered by www.musixmatch.com