Top Songs By Just Imagine Africa
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Just Imagine Africa
Performer
COMPOSITION & LYRICS
MIchael mugo
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
So Fresh
Producer
Lyrics
Ukiamka kwenda church mi huamka kuvuta BHANGI
Mi huvuta BHANGI ndio ni deal na mashetani
Mi hukula BHANGI zishike zikiwa ndani
Nakama hupendi BHANGI weh ni mtoto wa shetani.
Niko na swali... Nani ako na BHANGI
Nani ako na party tukuje tuwashe BHANGI
Nani ako na lighter yangu nilipea
Mlami alikuwa na ki BHANGI ametoa kasarani.
Niko na chwani ya kuvuta BHANGI
Kaa niko na 100 ntavuta mbili za chwani
Kaa niko na show backstage navuta BHANGI
Mpaka macho ziwe red kushinda lipstick ya Zari.
Ukiamka kwenda church mi huamka kuvuta BHANGI
Mi nachapa kazi kushinda pepo za shetani
Napenda majani kwanza ikiwa na Asali
Napenda my honey yeh ni mtamu na Sukari...
Ni ya ma sugar daddy nataka sugar
Mummy bora ako na watoi wanapenda BHANGI
Bora ako na account naweza toa ganji
Nikikosa ganji najua siwezi kosa BHANGI
Ukiamka Kwenda Church Mi Huamka Kuvuta Bangi
Mi Huvuta Bangi Ndio Ni Deal Na Majirani
Mi Hukula Bangi Ndio Damu Ikuwe Safi
Na Kama Hupendi Bangi Weh Ni Mtu Wa Shetani
Niko na Jibu, Nani ako Na Swali
Nani ako Na Tibu Juu Tiba Huwa Ni Bangi
Niliuma Ndimu nipate Sura ya Kazi na
Tangu Nianze Bangi niliwachana na Kazi
Niko na Arif, hawezi kosa Bangi
Kaa sina doh Mi huenda Kwake Kula Bangi
Kaa Niko na Show Yeh ndio Huletanga Bangi
B*NGI B*NGI B*NGI B*NGI
Bangi After Bangi
Ukiamka Kwenda Church mi Huamka Kuvuta Bangi
Mi nachapa kazi kushinda ata Matiangi
Mi napenda Honey kwanza ikiwa na Ki
Bangi Napenda Asali Utamu iko kwa Sukari
Niwe ki SUGAR Daddy Niwache Sugar Mummy
Bora nipate Mdem Anapenda Bangi
Bora ako na Account naweza weka Ganji
Akikosa Ganji najua siwezi Kosa PARKING!!!
Lyrics powered by www.musixmatch.com