Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Tumaini Akilimali
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Tumaini Akilimali
Songwriter
Lyrics
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Wa kupewa sifa na utukufu na heshima
Ni wewe, mwenye nguvu na uweza ni wewe
Wa kupewa sifa na utukufu na heshima
Ni wewe, mwenye nguvu na uweza ni wewe
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Ufanye moyo waaangu uwe wa kukuaabudu baba yangu.
Yafanye maisha yaaangu yawe ya kukusifu weweee
Maana pweke wastahili heshima na
Utukufu mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Peke yako wastahili heeshima na
Utukufu mwenye nguuvu na heshima ni wewe.
Ooohh Halleluyah
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Nilizaliiiwa mimi kwa neeema yako,
Niliuuumbwa baba kwa mfano wakoooooo.
Yani pasa nikutumikie wewe peke maana wewe tu ni mwenye nguvu na uweza
Yani pasa nikutumikie wewe peke maana wewe tu ni mwenye nguvu na uweza
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Ni wewe wa kuabudiwa ni wewe
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Wa kupewa sifa na Utukufu na heshima
Ni wewe, Mwenye nguvu na uweza ni wewe.
Lyrics powered by www.musixmatch.com